ADEM YADAHILI WALIMU 1,839 MAFUNZO YA UDHIBITI UBORA NA USIMAMIZI ELIMU

Na Moreen Rojas,Dodoma. Wakala wa maendeleo ya Uongozi wa elimu (ADEM) imedhahili walimu 1,839 katika mafunzo ya stashahada ya uongozi na usimamizi wa elimu DEMA na stashahada ya udhibiti ubora wa shule DSQA ili kuwapa ujuzi na maarifa walimu katika usimamizi,ufuatiliaji na tathimini katika elimu. Hayo yameelezwa na mtendaji mkuu wa wakala (ADEM) Dkt.Siston Mgullah